Hesabu 29:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtamtoa ng’ombe dume mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wote wa umri wa mwaka mmoja kuwa dhabihu ya kuteketezwa yenye harufu inayompendeza* Yehova; wanyama wote hawapaswi kuwa na kasoro.+
8 Mtamtoa ng’ombe dume mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wote wa umri wa mwaka mmoja kuwa dhabihu ya kuteketezwa yenye harufu inayompendeza* Yehova; wanyama wote hawapaswi kuwa na kasoro.+