Kumbukumbu la Torati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Asipofanya hivyo, mtu anayelipiza kisasi cha damu+ anaweza kwa hasira kali kumkimbiza, kumkamata, na kumuua, kwa sababu jiji hilo lilikuwa mbali sana. Hata hivyo, hakustahili kufa kwa sababu hakuwa akimchukia jirani yake.+
6 Asipofanya hivyo, mtu anayelipiza kisasi cha damu+ anaweza kwa hasira kali kumkimbiza, kumkamata, na kumuua, kwa sababu jiji hilo lilikuwa mbali sana. Hata hivyo, hakustahili kufa kwa sababu hakuwa akimchukia jirani yake.+