Kumbukumbu la Torati 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Watamtoza shekeli 100 za fedha na kumpa baba ya msichana huyo, kwa sababu mtu huyo alimharibia sifa bikira wa Israeli,+ naye ataendelea kuwa mke wake. Maadamu mwanamume huyo anaishi, hataruhusiwa kumtaliki msichana huyo.
19 Watamtoza shekeli 100 za fedha na kumpa baba ya msichana huyo, kwa sababu mtu huyo alimharibia sifa bikira wa Israeli,+ naye ataendelea kuwa mke wake. Maadamu mwanamume huyo anaishi, hataruhusiwa kumtaliki msichana huyo.