Yoshua 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mara tu baada ya kuliteka jiji, mnapaswa kuliteketeza kwa moto.+ Mtafanya kama Yehova alivyoagiza. Hayo ndiyo maagizo mtakayofuata.”
8 Na mara tu baada ya kuliteka jiji, mnapaswa kuliteketeza kwa moto.+ Mtafanya kama Yehova alivyoagiza. Hayo ndiyo maagizo mtakayofuata.”