10 Mara tu Mfalme Adoni-sedeki wa Yerusalemu aliposikia kwamba Yoshua ameteka Ai na kuliangamiza, na kulitendea Ai na mfalme wake+ kama alivyolitendea Yeriko na mfalme wake,+ na jinsi wakaaji wa Gibeoni walivyofanya amani na Waisraeli+ na kuendelea kukaa kati yao,