Yoshua 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini ninyi wengine msikae hapo. Wakimbizeni maadui wenu na kuwashambulia kutokea nyuma.+ Msiwape nafasi ya kuingia katika majiji yao, kwa kuwa Yehova Mungu wenu amewatia mikononi mwenu.”
19 Lakini ninyi wengine msikae hapo. Wakimbizeni maadui wenu na kuwashambulia kutokea nyuma.+ Msiwape nafasi ya kuingia katika majiji yao, kwa kuwa Yehova Mungu wenu amewatia mikononi mwenu.”