Yoshua 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yehova akalitia jiji la Lakishi mikononi mwa Waisraeli, nao wakaliteka siku ya pili. Wakalishambulia na kuwaangamiza wakaaji wote* kwa upanga,+ kama walivyofanya kule Libna.
32 Yehova akalitia jiji la Lakishi mikononi mwa Waisraeli, nao wakaliteka siku ya pili. Wakalishambulia na kuwaangamiza wakaaji wote* kwa upanga,+ kama walivyofanya kule Libna.