Yoshua 10:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Akaliteka pamoja na mfalme wake, na miji yake yote, wakawaangamiza wakaaji wote kwa upanga,+ na hakuna yeyote aliyebaki.+ Alilitendea Debiri na mfalme wake kama alivyolitendea Hebroni na pia Libna na mfalme wake.
39 Akaliteka pamoja na mfalme wake, na miji yake yote, wakawaangamiza wakaaji wote kwa upanga,+ na hakuna yeyote aliyebaki.+ Alilitendea Debiri na mfalme wake kama alivyolitendea Hebroni na pia Libna na mfalme wake.