Yoshua 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Hivyo Yoshua akaiteka nchi yote kutia ndani eneo lenye milima, Negebu, Shefela,+ na miteremko, na kuwashinda wafalme wao wote, na hakuna yeyote aliyebaki; alimwangamiza kila kiumbe anayepumua,+ kama Yehova Mungu wa Israeli alivyoamuru.+
40 Hivyo Yoshua akaiteka nchi yote kutia ndani eneo lenye milima, Negebu, Shefela,+ na miteremko, na kuwashinda wafalme wao wote, na hakuna yeyote aliyebaki; alimwangamiza kila kiumbe anayepumua,+ kama Yehova Mungu wa Israeli alivyoamuru.+