Yoshua 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na mpaka huo ulishuka hadi kwenye Bonde la Kana, upande wa kusini. Watu wa kabila la Efraimu walikuwa na majiji miongoni mwa majiji ya kabila la Manase,+ na mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa bonde la mto, nao ulifika kwenye bahari.+
9 Na mpaka huo ulishuka hadi kwenye Bonde la Kana, upande wa kusini. Watu wa kabila la Efraimu walikuwa na majiji miongoni mwa majiji ya kabila la Manase,+ na mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa bonde la mto, nao ulifika kwenye bahari.+