Yoshua 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upande wa kusini ulikuwa wa kabila la Efraimu, na upande wa kaskazini ulikuwa wa Manase, na mpaka wake ulikuwa bahari,+ na mpaka wa kaskazini* ulifika kwenye eneo la Asheri na mpaka wa mashariki ulifika kwenye eneo la Isakari.
10 Upande wa kusini ulikuwa wa kabila la Efraimu, na upande wa kaskazini ulikuwa wa Manase, na mpaka wake ulikuwa bahari,+ na mpaka wa kaskazini* ulifika kwenye eneo la Asheri na mpaka wa mashariki ulifika kwenye eneo la Isakari.