Yoshua 19:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka kwenye mti mkubwa kule Saananimu,+ kuelekea Adami-nekebu na Yabneeli hadi Lakumu; na kufika kwenye Mto Yordani.
33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka kwenye mti mkubwa kule Saananimu,+ kuelekea Adami-nekebu na Yabneeli hadi Lakumu; na kufika kwenye Mto Yordani.