Yoshua 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Wakohathi waliobaki walipewa majiji kumi kwa kura katika maeneo ya koo za kabila la Efraimu,+ Dani, na katika eneo la nusu ya kabila la Manase.+
5 Na Wakohathi waliobaki walipewa majiji kumi kwa kura katika maeneo ya koo za kabila la Efraimu,+ Dani, na katika eneo la nusu ya kabila la Manase.+