Yoshua 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye Waisraeli wengine wakasikia habari hizo+ na kusema, “Watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa nchi ya Kanaani katika maeneo ya Yordani ambayo ni ya Waisraeli.”
11 Baadaye Waisraeli wengine wakasikia habari hizo+ na kusema, “Watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa nchi ya Kanaani katika maeneo ya Yordani ambayo ni ya Waisraeli.”