Yoshua 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tukasema, ‘Wakituambia hivyo sisi na wazao wetu* wakati ujao, tutawajibu: “Angalieni mfano wa madhabahu ya Yehova ambayo mababu zetu walijenga, si kwa ajili ya matoleo au dhabihu za kuteketezwa, bali iwe ushahidi kati yetu na ninyi.”’
28 Basi tukasema, ‘Wakituambia hivyo sisi na wazao wetu* wakati ujao, tutawajibu: “Angalieni mfano wa madhabahu ya Yehova ambayo mababu zetu walijenga, si kwa ajili ya matoleo au dhabihu za kuteketezwa, bali iwe ushahidi kati yetu na ninyi.”’