Waamuzi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Debora akamwambia, “Hakika nitaenda pamoja nawe. Hata hivyo, hutapata sifa katika vita hivyo, kwa kuwa Yehova atamtia Sisera mikononi mwa mwanamke.”+ Ndipo Debora akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi.+ Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:9 “Kila Andiko,” uku. 48
9 Basi Debora akamwambia, “Hakika nitaenda pamoja nawe. Hata hivyo, hutapata sifa katika vita hivyo, kwa kuwa Yehova atamtia Sisera mikononi mwa mwanamke.”+ Ndipo Debora akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi.+