Waamuzi 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sisera akamwambia, “Tafadhali, nipe maji kidogo ya kunywa, kwa maana nina kiu.” Basi Yaeli akafungua kiriba cha ngozi chenye maziwa na kumpa anywe,+ kisha akamfunika tena.
19 Sisera akamwambia, “Tafadhali, nipe maji kidogo ya kunywa, kwa maana nina kiu.” Basi Yaeli akafungua kiriba cha ngozi chenye maziwa na kumpa anywe,+ kisha akamfunika tena.