Waamuzi 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo wakaaji wa jiji wakamwambia hivi Yoashi: “Mtoe nje mwana wako, anapaswa kufa kwa sababu amebomoa madhabahu ya Baali na kukata mti mtakatifu* uliokuwa kando yake.”
30 Kwa hiyo wakaaji wa jiji wakamwambia hivi Yoashi: “Mtoe nje mwana wako, anapaswa kufa kwa sababu amebomoa madhabahu ya Baali na kukata mti mtakatifu* uliokuwa kando yake.”