-
Waamuzi 6:39Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 Hata hivyo, Gideoni akamwambia hivi Mungu wa kweli: “Tafadhali usinikasirikie, nakuomba jambo moja zaidi. Tafadhali niruhusu nifanye jaribio lingine moja tu kwa manyoya haya. Tafadhali, acha manyoya peke yake yawe makavu, na ardhi yote iwe na umande.”
-