Waamuzi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo wakachukua vyakula na pembe* za wanaume hao Waisraeli, kisha Gideoni akawaambia wote warudi nyumbani, akabaki na wale 300 peke yao. Kambi ya Wamidiani ilikuwa upande wa chini bondeni.+
8 Kwa hiyo wakachukua vyakula na pembe* za wanaume hao Waisraeli, kisha Gideoni akawaambia wote warudi nyumbani, akabaki na wale 300 peke yao. Kambi ya Wamidiani ilikuwa upande wa chini bondeni.+