Waamuzi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Gideoni akawaambia, “Ni sawa, lakini Yehova atakapowatia Zeba na Zalmuna mikononi mwangu, nitawacharaza ninyi kwa miiba na michongoma ya nyikani.”+
7 Ndipo Gideoni akawaambia, “Ni sawa, lakini Yehova atakapowatia Zeba na Zalmuna mikononi mwangu, nitawacharaza ninyi kwa miiba na michongoma ya nyikani.”+