26 Na zile pete za puani za dhahabu ambazo aliwaomba zilikuwa na uzito wa shekeli 1,700 za dhahabu, mbali na yale mapambo yenye umbo la mwezi mwandamo, hereni, mavazi ya sufu ya rangi ya zambarau yaliyovaliwa na wafalme Wamidiani, na mikufu iliyokuwa shingoni mwa ngamia.+