Waamuzi 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hayo yalitokea ili kulipiza ukatili waliotendewa wale wana 70 wa Yerubaali, na ili hatia ya damu iwe juu ya Abimeleki ndugu yao kwa sababu aliwaua,+ na juu ya viongozi wa Shekemu kwa sababu walimsaidia kuua ndugu zake.
24 Hayo yalitokea ili kulipiza ukatili waliotendewa wale wana 70 wa Yerubaali, na ili hatia ya damu iwe juu ya Abimeleki ndugu yao kwa sababu aliwaua,+ na juu ya viongozi wa Shekemu kwa sababu walimsaidia kuua ndugu zake.