Waamuzi 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo akawatuma kwa siri* wajumbe kwa Abimeleki, akisema, “Gaali mwana wa Ebedi na ndugu zake wako Shekemu, wanalichochea jiji likupinge.
31 Kwa hiyo akawatuma kwa siri* wajumbe kwa Abimeleki, akisema, “Gaali mwana wa Ebedi na ndugu zake wako Shekemu, wanalichochea jiji likupinge.