Waamuzi 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mara tu jua linapochomoza asubuhi, amkeni mapema mlishambulie jiji; atakapokuja na watu wake kuwashambulia, jitahidini kabisa kumshinda.”* Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:33 Mnara wa Mlinzi,8/1/1991, uku. 21
33 Mara tu jua linapochomoza asubuhi, amkeni mapema mlishambulie jiji; atakapokuja na watu wake kuwashambulia, jitahidini kabisa kumshinda.”*