- 
	                        
            
            Waamuzi 9:48Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
48 akapanda Mlima Salmoni pamoja na watu wake. Akachukua shoka, akakata tawi la mti na kulibeba begani, akawaambia hivi watu wake: “Mlivyoona nikifanya, fanyeni vivyo hivyo haraka!”
 
 -