-
Waamuzi 13:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Manoa, “Hata nikikaa, sitakula chakula chenu; lakini ukipenda unaweza kukitoa kwa Yehova kuwa dhabihu ya kuteketezwa.” Manoa hakujua kwamba mtu huyo alikuwa malaika wa Yehova.
-