Waamuzi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi watawala wa Wafilisti wakaenda kwa mwanamke huyo na kumwambia, “Mdanganye*+ ili ujue chanzo cha nguvu zake nyingi na jinsi tunavyoweza kumshinda, kumfunga, na kumdhibiti. Na kila mmoja wetu atakupa vipande 1,100 vya fedha.”
5 Basi watawala wa Wafilisti wakaenda kwa mwanamke huyo na kumwambia, “Mdanganye*+ ili ujue chanzo cha nguvu zake nyingi na jinsi tunavyoweza kumshinda, kumfunga, na kumdhibiti. Na kila mmoja wetu atakupa vipande 1,100 vya fedha.”