9 Nao wakawaficha watu fulani katika chumba cha ndani ili wamvizie, basi Delila akamwambia, “Wafilisti wamekuja kukushambulia, Samsoni!” Ndipo akazikata hizo kamba kwa urahisi kama uzi wa kitani unavyokatika unapoguswa na moto.+ Nao hawakujua siri ya nguvu zake.