Waamuzi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Delila akamwambia Samsoni: “Umenihadaa* na kunidanganya. Sasa tafadhali, niambie unaweza kufungwa kwa kitu gani?”
10 Basi Delila akamwambia Samsoni: “Umenihadaa* na kunidanganya. Sasa tafadhali, niambie unaweza kufungwa kwa kitu gani?”