-
Waamuzi 17:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Siku moja alimwambia hivi mama yake: “Vile vipande 1,100 vya fedha ulivyoibiwa na ukamlaani aliyekuibia, nikiwa nasikia—mimi ndiye niliyevichukua.” Mama yake akamwambia, “Yehova na akubariki mwanangu.”
-