Waamuzi 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walipokaribia nyumba ya Mika, walimsikia* yule kijana na kutambua kwamba alikuwa Mlawi, basi wakaenda kumuuliza, “Ni nani aliyekuleta huku? Unafanya nini hapa? Ni kazi gani iliyokuleta hapa?”
3 Walipokaribia nyumba ya Mika, walimsikia* yule kijana na kutambua kwamba alikuwa Mlawi, basi wakaenda kumuuliza, “Ni nani aliyekuleta huku? Unafanya nini hapa? Ni kazi gani iliyokuleta hapa?”