Waamuzi 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wale wanaume watano walioenda kuipeleleza nchi+ wakaingia ndani ili kuchukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi,*+ zile terafimu,*+ na ile sanamu ya chuma.*+ (Yule kuhani+ alikuwa amesimama langoni pamoja na wale wanaume 600 wenye silaha.)
17 Wale wanaume watano walioenda kuipeleleza nchi+ wakaingia ndani ili kuchukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi,*+ zile terafimu,*+ na ile sanamu ya chuma.*+ (Yule kuhani+ alikuwa amesimama langoni pamoja na wale wanaume 600 wenye silaha.)