- 
	                        
            
            Waamuzi 19:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        2 Lakini suria huyo hakuwa mwaminifu kwake, akamwacha mume wake na kurudi Bethlehemu nyumbani kwa baba yake kule Yuda. Naye akakaa huko kwa miezi minne. 
 
-