-
Waamuzi 19:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Lakini suria huyo hakuwa mwaminifu kwake, akamwacha mume wake na kurudi Bethlehemu nyumbani kwa baba yake kule Yuda. Naye akakaa huko kwa miezi minne.
-