Waamuzi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baadaye jioni hiyo, mzee fulani aliingia jijini kutoka shambani mwake. Alizaliwa katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kwa muda fulani alikuwa akiishi Gibea; lakini wenyeji wa jiji hilo walikuwa Wabenjamini.+
16 Baadaye jioni hiyo, mzee fulani aliingia jijini kutoka shambani mwake. Alizaliwa katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kwa muda fulani alikuwa akiishi Gibea; lakini wenyeji wa jiji hilo walikuwa Wabenjamini.+