Waamuzi 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakapanda kwenda Betheli kumwomba Mungu ushauri.+ Basi Waisraeli wakamuuliza hivi: “Ni nani kati yetu anayepaswa kutuongoza kupigana na Wabenjamini?” Yehova akajibu, “Kabila la Yuda litaongoza.”
18 Wakapanda kwenda Betheli kumwomba Mungu ushauri.+ Basi Waisraeli wakamuuliza hivi: “Ni nani kati yetu anayepaswa kutuongoza kupigana na Wabenjamini?” Yehova akajibu, “Kabila la Yuda litaongoza.”