Waamuzi 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Waisraeli wakapanda kwenda kupigana na Wabenjamini siku ya tatu, wakajipanga kivita ili kushambulia Gibea kama walivyofanya awali.+
30 Waisraeli wakapanda kwenda kupigana na Wabenjamini siku ya tatu, wakajipanga kivita ili kushambulia Gibea kama walivyofanya awali.+