31 Wabenjamini walipoenda kupigana na jeshi hilo, walivutwa mbali na jiji.+ Kisha, kama awali, wakaanza kuwashambulia na kuwaua watu kwenye barabara kuu; barabara moja inaenda Betheli na nyingine Gibea, wakawaua wanaume Waisraeli wapatao 30 mashambani.+