Waamuzi 20:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Waisraeli walipogeuka na kukimbia, wanaume Wabenjamini wakaanza kuwashambulia, wakawaua wanaume Waisraeli wapatao 30,+ huku wakisema, “Ni wazi kwamba tunawashinda tena, kama tulivyowashinda awali.”+
39 Waisraeli walipogeuka na kukimbia, wanaume Wabenjamini wakaanza kuwashambulia, wakawaua wanaume Waisraeli wapatao 30,+ huku wakisema, “Ni wazi kwamba tunawashinda tena, kama tulivyowashinda awali.”+