Waamuzi 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini haturuhusiwi kuwapa binti zetu wawe wake zao, kwa sababu Waisraeli wameapa hivi: ‘Alaaniwe yeyote anayempa Mbenjamini mke.’”+
18 Lakini haturuhusiwi kuwapa binti zetu wawe wake zao, kwa sababu Waisraeli wameapa hivi: ‘Alaaniwe yeyote anayempa Mbenjamini mke.’”+