19 Basi mama mkwe wake akamuuliza: “Leo uliokota masuke wapi? Ulifanya kazi wapi? Na abarikiwe yule aliyekutendea kwa fadhili.”+ Ndipo akamwambia mama mkwe wake kuhusu mtu aliyefanya kazi katika shamba lake: “Nilifanya kazi katika shamba la mwanamume anayeitwa Boazi.”