1 Samweli 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Hana hakwenda+ kwa sababu alimwambia hivi mume wake: “Mara tu nitakapomwachisha mvulana huyu kunyonya, nitampeleka mbele za Yehova, naye atabaki huko kuanzia wakati huo na kuendelea.”+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:22 w07 3/15 16 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:22 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 16
22 Lakini Hana hakwenda+ kwa sababu alimwambia hivi mume wake: “Mara tu nitakapomwachisha mvulana huyu kunyonya, nitampeleka mbele za Yehova, naye atabaki huko kuanzia wakati huo na kuendelea.”+