13 Mtu huyo alipofika, Eli alikuwa ameketi kwenye kiti kando ya barabara akitazama barabarani, kwa kuwa moyo wake ulikuwa ukitetemeka kwa sababu ya Sanduku la Mungu wa kweli.+ Mtu huyo akaingia jijini kutangaza habari hizo, na jiji lote likaanza kulia kwa sauti kubwa.