1 Samweli 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakafika katika nchi ya Sufu, Sauli akamwambia mtumishi wake aliyekuwa pamoja naye: “Njoo, acha turudi, ili baba yangu asianze kutuhangaikia badala ya kuhangaikia punda.”+
5 Wakafika katika nchi ya Sufu, Sauli akamwambia mtumishi wake aliyekuwa pamoja naye: “Njoo, acha turudi, ili baba yangu asianze kutuhangaikia badala ya kuhangaikia punda.”+