-
1 Samweli 9:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Mara tu mtakapoingia jijini, mtamkuta kabla hajapanda kwenda mahali pa juu kula chakula. Watu hawatakula mpaka atakapofika, kwa maana yeye ndiye anayebariki dhabihu. Baada ya kufanya hivyo, wale walioalikwa wanaweza kula. Basi pandeni sasa moja kwa moja, mtamkuta.”
-