1 Samweli 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo mtu mmoja akasema: “Baba yako aliwaapisha watu vikali akisema, ‘Na alaaniwe mtu atakayekula chakula leo!’+ Ndio sababu watu wamechoka sana.” 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:28 Mnara wa Mlinzi,6/1/1986, uku. 31
28 Ndipo mtu mmoja akasema: “Baba yako aliwaapisha watu vikali akisema, ‘Na alaaniwe mtu atakayekula chakula leo!’+ Ndio sababu watu wamechoka sana.”