28 Eliabu ndugu yake mkubwa+ alipomsikia Daudi akizungumza na wanaume hao, akamkasirikia Daudi na kumwambia: “Kwa nini umeshuka huku? Na wale kondoo wachache nyikani umemwachia nani?+ Najua vizuri kimbelembele chako na nia mbaya ya moyo wako; umeshuka tu ili kutazama vita.”