1 Samweli 17:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Sauli akamwambia Daudi: “Huwezi kwenda kupigana na huyo Mfilisti, kwa sababu wewe ni mvulana tu,+ naye amekuwa mwanajeshi* tangu alipokuwa kijana.” 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:33 Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),Na. 5 2016, uku. 11
33 Lakini Sauli akamwambia Daudi: “Huwezi kwenda kupigana na huyo Mfilisti, kwa sababu wewe ni mvulana tu,+ naye amekuwa mwanajeshi* tangu alipokuwa kijana.”