1 Samweli 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sauli akaambiwa hivi: “Daudi amekuja Keila.” Sauli akasema: “Mungu amemtia mikononi mwangu,*+ kwa maana amejiingiza mwenyewe ndani ya mtego kwa kuingia katika jiji lenye milango na makomeo.”
7 Sauli akaambiwa hivi: “Daudi amekuja Keila.” Sauli akasema: “Mungu amemtia mikononi mwangu,*+ kwa maana amejiingiza mwenyewe ndani ya mtego kwa kuingia katika jiji lenye milango na makomeo.”