2 Samweli 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mara tu kipindi cha kuomboleza kilipokwisha, Daudi akaagiza aletwe nyumbani kwake, akawa mke wake+ na kumzalia mwana. Lakini jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya lilimchukiza sana* Yehova.+
27 Mara tu kipindi cha kuomboleza kilipokwisha, Daudi akaagiza aletwe nyumbani kwake, akawa mke wake+ na kumzalia mwana. Lakini jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya lilimchukiza sana* Yehova.+